Watu 8 wamefariki dunia katika mtaa wa makazi duni wa Shauri Yako huko Embu baada ya kunywa pombe ya kienyeji ya kathaburia jana jumatatu.
Katika tukio hilo, watu wengine 35 wamelazwa katika hospitali ya Embu wakiwa na hali mbaya, na watu 6 kati yao wamepoteza kabisa uwezo wa kuona.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni