Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwasalimia watoto mapacha waliokuwa wanasubiri kupata matibabu
katika Hospitali ya Ngaliema iliyopo jijini Kinshasa jana. Rais
Kikwete alikwenda hospitalini hapo kumjulia hali balozi wa Tanzania
nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mh.Antony Ngereza Cheche
anayetibiwa hospitalini hapo (Picha na Freddy Maro).

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni