.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 5 Mei 2014

SENETA WA MAKUENI NCHINI KENYA AVAMIWA NA WEZI, WAPORA VITU KADHAA NA FEDHA TASLIMU

Seneta wa jimbo la Makueni nchini Kenya, Mutula Kilonzo Junior amejikuta akionja machungu ya wezi, baada ya kuvamia nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo jijini Nairobi. 

Wezi hao ambao idadi yao bado haijafahamika, waliingia nyumbani kwa Seneta huyo mtaa wa Kileleshwa na kuiba vitu kadhaa zikiwemo fedha taslimu. Wakati wa tukio hilo Seneta huyo hakuwepo nyumbani kwake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni