Gwaride hilo kubwa kabisa limekuwa likifanyika katika mji mkuu wa Urusi, Moscow.
Leo Rais wa Urusi, Vladmir Pitin aliwasili Crimea, jimbo lilijitangazia kujitenga na Ukraine na kujiunga na Urusi, jambo ambalo limezua mvutano mkubwa toka kwa mataifa mbalimbali Duniani.
Akiwa Crimea, Rais Putin alihutubia akiwa katika bandari ya Sevastopol.




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni