Waandaji wa michuano ya Jumuiya ya
Madola 2013 huko Glasgow wamefunga tovuti yao ya kuuizia tiketi
pamoja na laini za simu hadi hapo tatizo lililopo la uuzaji wa mfumo
huo litakapopatiwa ufumbuzi.
Waandaaji hao wa Glasgow 2014 wamesema
hatua hiyo waliochukua ilikuwa ni ya lazima ili kushughulikia
hitilafu za kiufundi ambazo zilikwamisha uuzaji wa tiketi za ziada
laki moja tangu jumatatu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni