.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Mei 2014

WATU 15 WAFA BAADA YA KUKANYAGANA WAKATI WA MECHI YA SOKA NCHINI DRC

Watu 15 wamekufa katika tukio la mkanyagano uliotokea wakati wa mechi ya soko katika Jiji la nchi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, la Kinshasa.

Ripoti inasema kuwa hali hiyo imetokea baada ya polisi kufyatua mabomu ya machozi katika uwanja uliojaa watu na kusababisha hali ya taharuki, ambapo zaidi ya watu 20 wamejeruhiwa.

Mashabiki walikuwa wamekerwa na timu yao ya nyumbani ya ASV, kufungwa na bao 1-0 na TP Mazembe ya Lubumbashi. Matukio ya kukanyagani ni ya kawaida nchini DRC.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni