.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 11 Mei 2014

WILL.I.AM AKERWA NA KITENDO CHA KUTIMULIWA VIP LOUNGE NA UNITED AIRLINES

Nyota wa muziki Will.i.am amepatwa na hasira baada kudaiwa kufukuzwa katika chumba cha daraja la kwanza cha uwanja wa ndege siku ya Jumamosi, ambacho hutumika kupumzikia watu mashuhuri.

Nyota huyo wa kundi la Black Eyed Peas ameandika twitti kadhaa zikililinge shirika la ndege la United, baada ya kuripotiwa kuambiwa aondoke katika chumba hicho cha watu maalum, kwa madai kuwa ana kadi feki.

Katika moja ya posti zake zilizoonyesha kukerewa na kitendo hiyo Will.i.am alitwitti maneno haya:# Shirika la Ndege la United ni baya. Mimi ni memba na nina kadi ya kuthibitisha hilo. Lakini wameniambia mimi kadi yangu ni feki na kunitimua kwenye chumba cha VIP, inasikitisha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni