
Katika ajali hiyo inaelezewa kuwa dereva wa Toyota Hiace ana hali mbaya sana huku dereva wa Rav 4 naye akiwa amejeruhiwa kiasi.

Wananchi waliojitokeza kutoa msaada kwa abiria waliokuwa ndani ya magari hayo baada ya ajali kutokea.

Askari wa usalama wa barabarani akikagua mazingira yaliyosababisha ajali hiyo.

Wananchi waliojitokeza wakijaribu kuwatoa abiria waliokuwa ndani ya daladala hilo mara tu ajali ilipotokea

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni