.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 3 Juni 2014

WATAALAM WATAKA SERIKALI KUTOA DAWA ZA KUPUNGUZA MAUMIVU KWA WAGONJWA WANAOKARIBIA KUFA


Wataalam wa afya wamesema ukosefu wa dawa za kupunguza maumivu kwa wagonjwa wanaoelekea kufariki dunia ni jambo linalopaswa kutafutiwa ufumbuzi wa dharura wa kiafya duniani.

Takwimu zinaonyesha watu milioni 18 wengi wao wakitokea kwenye nchi zinazoendelea walifariki dunia wakiwa kwenye maumivu makali yasiyo ya lazima, ambapo nchini Ethiopia mgonjwa mmoja wa saratani alijiua kwa kujirusha mbela ya lori na kugonwa ili kuepuka maumivu.

Muungano wa Dunia wa Kuwajali Wagonjwa waliokwenye maumivu makali umesema sehemu ya tatizo hilo la ukosefu wa dawa za maumivu ni vitendo vya serikali kukataa kuwapatia wagonjwa hao dawa ya kuzuia maumivu kama vile ya morphine.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni