.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Julai 2014

BOKO HARAM WALIPUA DARAJA LINALOUNGANISHA NIGERIA NA CAMEROON

Wapiganaji wa Kiislam wanatuhumiwa kuhusika na kulipua daraja kuu Kaskazini Mashariki wa Nigeria, na kuathiri usafiri baina ya nchi hiyo na Cameroon.

Wenyeji wa eneo hilo wamesema malori yenye bidhaa yamekwama katika njia kuua baada ya kushindwa kukatiza juu ya daraja hilo la Ngala.

Tukio hilo la kushambuliwa daraja hilo linaonyesha ni kwa jinsi gani kundi la Boko Haram lilivyohatari.

Siku ya jumanne, mkuu wa jeshi hilo alisema baadhi ya wanajeshi waliondoka kutokana na kuwahofiwa wapiganaji wa Boko Haram.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni