Watu 21 wameripotiwa kufariki dunia baada ya bomu lililokuwa limetegwa katika gari kulipuka katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
Bomu hilo ambalo lililipuka katika kizuizi cha polisi cha barabarani kabla ya kuingia katika wilaya ya Kadhimiya, liliua raia 13 papo hapo. Pia polisi 5 wameripotiwa kufa katika tukio hilo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni