.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Julai 2014

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI MHANDISI NGOSI MWIHAVA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA TABIA NCHI KWA WATAALAMU HUKO MOROGORO


Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mazingira kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Gidion Kasege (kulia) akizungumza kabla ya kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (aliyekaa kulia kwake) ambaye alikuwa ni mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa mafunzo yanayowakutanisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayoendelea mjini Morogoro.


Washiriki wa mafunzo ya Mabadiliko ya Tabianchi yanayoendelea mjini Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (wa nne kutoka kushoto waliosimama mstari wa mbele) mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa na wawezeshaji kwa nyakati tofauti tofauti

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni