Jumatano, 30 Julai 2014
ISRAEL YAENDELEA KUACHA VILIO UKANDA WA GAZA, NDANI YA SAA 24 MAJESHI YAKE YAUA WAPALESTINA 100
Zaidi ya Wapalestina 100 wameuawa katika siku moja baada ya majeshi ya Israel kushambulia ukanda wa Gaza kwa makombora ya angani, nchi kavu na baharini, mashambulio ambayo ni makubwa zaidi toka mgogoro wa pande hizo mbili uanze.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni