.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 27 Julai 2014

KUNDI LA HAMAS LATANGAZA KUSITISHA MAPIGANO KATIKA MUDA WA 24

Kundi la Hamas la Palestina limetangaza kutoa muda wa saa 24 kusitisha mapigano, baada ya Israeli kuendelea na mapigano kufuatia kurushwa roketi kutokea Gaza.

Hamas ambao ndio wanamiliki eneo la ukanda wa Gaza, wamesema usitishaji mapigano hayo utaanza muda wa saa nane mchana kwa majira ya Palestina.

Msemaji wa Israeli amenukuliwa akisema tangazo hilo huenda likawa ni fursa ya kusitishwa mapigano hayo yaliyoua Wapalestina 1,060 na wanajeshi 43 na raia watatu wa Israeli tangu Julai nane.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni