.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 29 Julai 2014

MJAMAICA KEMAR BAILEY-COLE ATWAA MEDALI YA DHAHABU

Mjamaica Kemar Bailey-Cole, ametwaa medali ya dhahabu katika michuano ya Jumuiya ya Madola baada ya kushinda mbio za mita 100 kwa kumaliza kwa muda wa sekunde 10.

Katika mbio hizo Muingereza Adam Gemili amejitambulisha kimataifa baada ya kumaliza wa pili na kutwaa medali ya fedha.




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni