.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 30 Julai 2014

MWANAMICHEZO MDOGO WA NIGERIA AZUIWA KUSHIRIKI MICHUANO YA JUMUIYA YA MADOLA

Myanyua vitu vizito msichana mdogo Chika Amalaha amesitishwa kushiriki michuano ya Jumuiya ya Madoka baada ya vipimo kuonyesha kuwa ametumia dawa za kuongeza nguvu, baada ya kushinda medali ya dhahabu kwa kunyanyua chuma cha uzito wa kilo 53.

Shirikisho la michuano hiyo limesema jana Amalaha mwenye umri wa miaka 16 amebainika kutumia dawa zilizopigwa marufuku katika sampuli ya vipimo A, vilivyochukuliwa Julaia 25.

Mnyanyua vitu vizito huyo atafanyiwa vipimo vya kimaabara vya B, Jijini London hii leo kubaini tena iwapo dawa hizo zitabainika mwilini mwake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni