RAIS KIKWETE AMJULIA HALI JAJI LEWIS MAKAME ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mwenyekiti mstaafu wa tume ya Uchaguzi JAJI Lewis Makame aliyelazwa katika hospitali ya AMI iliyoko Mikocheni jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni