.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 30 Julai 2014

UINGEREZA YAKUMBWA NA HOFU YA UGONJWA WA EBOLA

Mwanaume mmoja amebainika kuwa na virusi vya ugonjwa hatari wa Ebola huko Uingereza na kuwafanya madaktari kuwa katika hali ya tahadhari kutokana na uwezekano wa Ebola kuingia Ulaya.

Vipimo vya mwanaume huyo vimefanywa katika hospitali ya Birmingham, baada ya kulalamika kuwa ana homa baada ya kurejea Midlands akitokea Afrika ya Magharibi.

Mwanaume huyo alikuwa anatokea Benin, kupitia Nigeria na kisha kufika Paris kabla ya kuelekea Uingereza jumatatu na kuanza kulalamika kujisikia vibaya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni