.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 4 Agosti 2014

DIDIER DROGBA AKARIBISHWA CHELSEA NA KIPIGO KUTOKA KWA WERDER BREMEN

Didier Drogba ameichezea kwa mara ya kwanza Chelsea hapo jana hata hivyo akajikuta akikaribishwa na kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Werder Bremen ya Ujerumani.

Kipa Thibaut Courtois naye aliichezea Chelsea kwa mara ya kwanza baada ya kucheza kwa mkopo miaka 3 akiwa na Atletico Madrid.

Chelsea ilizamishwa kwa mabao ya penati ya Eljero Elia na Felix Kroos pamoja na bao la kichwa la Ludovic Obraniak na kutosha kabisa kuipa ushindi timu hiyo ya Ligi ya Bundesliga. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni