.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 3 Agosti 2014

ISRAEL YATHIBITISHA MWANAJESHI WAKE ALIYEKUWA AMETEKWA HADAR GOLDIN AMEUAWA

 Mwanajeshi wa jeshi la Israel, Hadar Goldin mwenye miaka 23 ( picha juu ) ambaye alitekwa wakati wa mapigano kati ya majeshi ya Israel na kundi la Hamas katika ukanda wa Gaza imefahamika ameuawa. 

Msemaji wa jeshi la Israel amethibitisha taarifa za kifo cha mwanajeshi wao. 

Kifo cha mwanajeshi huyo kimezidisha hasira zaidi, na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamini Netanyahu amesema kuwa mashambulizi zaidi yatafanyika katika ukanda wa Gaza.
                                                           Waziri Mkuu wa Israel, Benjamini Netanyahu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni