.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 3 Agosti 2014

SHAMBULIO LA ANGA LA ISRAELI LALENGA SHULE YA UMOJA WA MATAIFA NA KUU WATU 10


Watu wapatao 10 wameuwawa katika shambulio la anga lililofanywa Israeli kwenye shule ya Umoja wa Mataifa, inayotumika kuhifadhi Wapalestina waliokimbia mapigano huko Gaza.

Shambulio hilo limelenga mlango wa kuingilia shule hiyo huko Rafah, ambapo maelfu ya Wapalestina wamepatiwa hifadhi.

Jeshi la Israeli halijatoa tamko lolote, licha ya kuanzisha mashambulizi mapya huko Gaza, yaliyopelekea vifo vya watu 30 hii leo, huku nao wapiganaji wa Hamas wakiendelea kurusha makombora ya roketi Israeli.
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni