Israel na Hamas zimekubaliana kusimamisha mapigano kwa saa 72, makubaliano ambayo yamefikiwa alhamisi jioni na yanatarajiwa kuanza kutekelezwa kuanzia leo ijumaa.
Wakati makubaliano haya yanafikiwa, tayari Wapalestina 1,441 wengi wao wakiwa raia wameuawa kufuatia mashambulizi ya makombora ya Israeli katika ukanda wa Gaza tangu July 08'2014 mashambulizi hayo yalipoanza, huku Israel nayo ikiwapoteza wanajeshi wake 56 na raia 2.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni