.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 1 Agosti 2014

MABOMBA YA GESI YALIPUKA NA KUUA 24 NCHINI TAIWAN

Mfululizo wa milipuko ya gesi kusini mwa Taiwan katika mji wa Kaohsiung imeuwa watu 24 na kujeruhi watu 270.

Milipuko hiyo imetikisa wilaya ya mji huo ya Cianjhen, magari yaliyorushwa yamesambaa na barabara zimepasuka na kuwa na mitaro.

Chanzo halisi cha kuvuja kwa gasi hakijafahamika, lakini imefahamika kuwa milipuko hiyo imetokana na kupasuka kwa mabomba ya gesi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni