Waziri wa Afya Kenya James Macharia
Nchi ya Kenya inashika nafasi ya nne
duniani kwa kuwa na maambukizi ya virusi vya Ukimwi.
Idadi ya watu wanaoishi na virusi
vya Ukimwi Kenya inafikia watu milioni 1.6, Wizara ya Afya ya Kenya
imebainisha.
Afrika Kusini inaongoza kwa kuwa na
watu milioni 5.6 wenye virusi vya Ukimwi, Nigeria inafuatia ikiwa na
watu milioni 3.3 ambapo India inashika nafasi ya tatu ikiwa na watu
milioni 2.5.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni