Baadhi ya wananchi wakiwa mahakamani kufuatilia uamuzi utakaotolewa na mahakama hiyo ya Katiba nchini Uaganda.
Mahakama ya Katiba nchini Uganda, imetengua maamuzi ya kupinga mapenzi ya jinsia moja ( ushoga ) nchini humo.
Mahakama hiyo ya Katiba imesema kuwa wakati maamuzi hayo yanapitishwa na wabunge mwezi December mwaka jana na baadaye kusainiwa na Rais Museveni kuwa sheria mwezi February mwaka huu, idadi ya wabunge inayotakiwa ilikuwa haijatimia.
Kupitishwa kwa sheria hiyo kulisababisha mataifa mbalimbali kukata misaada yake kwa Uganda yakiwemo mataifa ya Uholanzi, Denmark, Sweden, Norway.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni