.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 11 Agosti 2014

MANCHESTER CITY WATHIBITISHA KUMTWAA BEKI WA KATI WA PORTO ELIAQUIM MANGALA

Manchester City wamethibitisha kuwa wamekamilisha kumnasa beki wa kati Eliaquim Mangala kutokea klabu ya Porto.

Inaaminika Manchester City wamemng'oa Mangala Porto kwa kitita cha paundi milioni 32, na tayari mchezaji huo amesema anajipanga kutwaa makombe na timu yake hiyo mpya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni