.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 3 Agosti 2014

MARAIS WA UFARANSA NA UJERUMANI WAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA VITA KUU YA DUNIA

Marais wa Ufaransa na Ujerumani wameadhimisha kumbukumbu ya miaka 100 tangu Ujerumani itangaze vita kuu ya kwanza duniani Agosti 3, mwaka 1994.

Raiswa Ufaransa Francois Hollande na mwenzake wa Ujerumani Joachim Gauck, wameadhimisha kumbukumbu hizo kwa kutoa heshima zao kwa wanajeshi waliouwawa katika vita hiyo.

Marais hao pia wataweka jiwe la kumbukumbu katika makaburi waliozikwa wanajeshi waliopigana vita kuu ya kwanza ya dunia huko Vieil Armand.

Hapo kesho kumbukumbu hizo zitafanyika nchini Ubelgiji katika kukumbukua uamuzi wa Uingereza kutangaza vita dhidi ya Ujerumani.
         Makaburi ya Wanajeshi wa Ufaransa na Ujerumani ya Vieil Armand

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni