.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 12 Agosti 2014

RAIS BARACK OBAMA ABARIKI UTEUZI WA WAZIRI MKUU MPYA WA IRAK

                               Rais wa Irak akimpongeza Waziri Mkuu Mpya Abdi

Rais Barack Obama wa Marekani amesema kuteuliwa kwa Bw. Haider al-Abadi kuwa Waziri Mkuu wa Irak ni hatua muhimu kwa mustakabali wa nchi hiyo.

Obama amesema anatambua kuwa Irak imekuwa ikipitia katika kipindi kigumu, na kuwasihi viongozi wa kisiasa kufanya kazi pamoja.

Mapema jana Rais wa Irak, amemtaka Bw. Abdi kuunda serikali mpya, na kumuacha nje Waziri Mkuu Nouri Maliki ambaye amenukuliwa akisema uteuzi wa waziri mkuu mpya ni ukiukaji katiba ya nchi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni