.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 8 Agosti 2014

SHIRIKA LA AFYA LA NDEGE LA KENYA KUENDELEA NA SAFARI ZA AFRIKA MAGHARIBI

Shirika la Ndege Kenya Airways limesema litaendelea kusafiri nchini Liberia pamoja na nchi nyingine za Afrika Magharibi, licha ya nchi hizo kukabiliwa na mlipuko wa Ebola.

Shirika hilo la ndege la taifa la Kenya, limesema tathimini za Shirika la Afya Duniani (WHO), pamoja Chama cha Usafiri wa Anga (IATA) zote zimeondoa shaka juu ya kusambaa kwa virusi vya Ebola kwa njia ya usafiri wa anga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni