Wasanii wa kundi la Weusi linaloundwa na Joh Makini, Nikki wa 2, G-Nako toka kaskazini mwa Tanzania, jijini Arusha wakitoa burudani katika Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika jana Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Tamasha hili limedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,
Rich Mavoko akiwapagawisha mashabiki wa mji wa Tanga waliohudhuria
katika Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika jana Uwanja wa
Mkwakwani. Tamasha hili limedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium
Lager.
Wakazi wa jiji la Tanga na vitongoji
vyake wakiwa katika Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014
lililofanyika Uwanja wa Mkwakwani. Tamasha hili limedhaminiwa na Bia
ya Kilimanjaro Premium Lager.
Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Afrika kwa Ujumla, Bi. Khadija Omary Kopa akitoa burudani ya Kikwetu Kwetu sambamba na mmoja wa wacheza shoo wake katika Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Tamasha hili limedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,
Ommy Dimpoz akiwapagawisha mashabiki wa wakazi wa jiji la Tanga
katika Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika jana Uwanja wa
Mkwakwani. Tamasha hili limedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium
Lager.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni