.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Septemba 2014

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI COMORO KWA ZIARA YA KISERIKALI


Rais Wa Zanzibar na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiaana na Balozi Comoro Nchini Tanzania alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Comoro akiwa katika Ziara Ya Kiserikali akiwa amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein Na Viongozi Mbali Mbali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Comoro Mohamed Ali Soilihi wakati Wimbo wa Taifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wimbo Wa Muungano Wa Comoro Ukipigwa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipunga mikono kwa Wananchi wa Comoro akiwa na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Comoro,Mohamed Ali Soilihi Wakati wa mapokezo alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Comoro leo akiwa katika Ziara ya Kiserikali.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Comoro,Mh. Mohamed Ali Soilihi wakiangalia Ngoma za Utamaduni mara walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Comoro leo akiwa katika ziara ya Kiserikali.[Picha Na Ramadhan Othman,Ikulu Zanzibar.]

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni