Wananchi wengi wa Scotland wamepiga
kura ya kutaka kubakia kwenye Umoja wa Kifalme wa (UK) baada ya kura
nyingi kupinga suala la kutaka kujitenga.
Baada ya kuhesabiwa kura katika kata
31 kati ya 32, wananchi wanaopinga kujitenga wamepata kura 1,914,187
dhidi ya 1,539,920 za wanaotaka kujitenga.
Kambi ya wanaotaka kujitenga wakiwa wamejikunyata
Huyu nae alijikuta akiwa anasikilizia machungu ya kushindwa akiwa mpweke
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni