Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua
shule ya Sekondari ya Magnificat wilayani Siha Septemba 20, 2014.
Kushoto ni mkewe Tunu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akisalimiana na wazee wa Mpanda baada ya kuzungumza na mjini Mpanda
Septemba 22, 2014. Alikuwa njiani akitoka Sumbawanga kuelekea Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua
ujenzi wa shule ya Msingi ya Kakuni wilayani Mlele Septemba 22, 2014.
Alikuwa njiani akitoka Sumbawanga kuelekea Dodoma. Kulia ni Mkuu wa
Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajab Rutengwe. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni