Kocha wa Sunderland, Gus Poyet
amesema kipigo ilichopata timu yake cha mabao 8-0 kutoka kwa
Southampton ni moja ya tukio la kuaibisha mno katika mchezo wa soka.
Sunderland imepoteza vibaya mchezo
wake wa Ligi Kuu ya Uingereza ikiwa ni kipigo kikubwa kuwahi kupata
tangu miaka 32 kupita katika dimba la St Mary's.
Victor Wanyama akifurahi goli la saba alilolifunga
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni