.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 19 Oktoba 2014

LIONEL MESSI ABAKISHA MAWILI TU KUWEKA REKODI YA MFUNGAJI LIGI YA HISPANIA

Mshambuliaji Lionel Messi amebakisha kupachika wavuni mabao mawili tu, ili kuweka rekodi ya mchezaji aliyefunga magoli mengi katika ligi kuu ya Hispania maarufu kama La Liga, baada ya kufunga bao dhidi ya Eibar.

Katika mchezo huo ambao nusu ya kwanza iliisha bila ya kupatikana bao lolote, Messi alimpatia pande Xavi na kupachika bao wavuni lililomshinda kipa Xabi, na baadae Neymar alipachika bao kabla ya Messi kukamilisha bao la tatu na kufanya matokeo kuwa 3-0.

Matokeo mengine ya jana katika ligi hiyo yalikuwa Levante 0 - 5 Real Madrid,
Athletico Bilbao 1 -1 Celta de Vigo na Córdoba 1 - 2 Málaga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni