.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 19 Oktoba 2014

PROFESA ALI MAZRUI AZIKWA NA MAMIA LEO HUKO MOMBASA KENYA

Mwanazuoni maarufu Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla Profesa Ali Mazrui amezikwa leo kwenye makaburi ya Mazrui mkabla na Fort Jesus, huko Mombasa katika eneo la Old Town.

Mapema leo usalama uliimarishwa Mombasa Kenya wakati ambapo mamia ya waombolezaji walipouaga mwili wa mwanazuoni huyo.

Mwili wa Profesa huyo aliyefariki dunia Oktoba 13 nchini Marekani uliwasili leo majira ya saa tisa usiku, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Moi, na kupelekwa kwenye nyumba yake iliyopo Old Town karibu na Fort Jesus.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni