Vikosi vya Kenya vimewauwa
wapiganaji wa al-Shabaab na kulikamata gari lililokuwa na milipuko
pamoja na fulana za kujitoa mhanga.
Tukio hilo lililotokea jana majira
ya saa tano usiku huko Dolo, upande wa Ethiopia karibu na mpaka wa
mji wa Moyale.
Wapiganaji hao walikuwa wakijaribu
kuingia Kenya kupitia mpaka wa Kenya- Ethiopia wakitumia gari aina ya
Toyota Prado lenye namba za usajili za Kenya.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni