.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 20 Oktoba 2014

RAIS WA LIBERIA ELLEN JOHNSON SIRLEAF ASEMA DUNIA INAWAJIBIKA KUKABIALIAN NA EBOLA

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf amesema dunia nzima inawajibika katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

Katika barua yake kwa dunia iliyorushwa na kituo cha BBC, amesema ugonjwa huo haujali mipaka na kila nchi zinapaswa kuwajipika katika kupambana nao.

Rais Johnson Sirleaf ameongeza kuwa kizazi cha Afrika kipokwenye hatari ya kupotelea kwenye janga la kiuchumi.

Mlipuko wa Ebola umeuwa zaidi ya watu 4,500 katika nchi za Afrika Magharibi, wakiwemo 2,200 nchini Liberia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni