Kikosi cha jeshi la Uingereza SAS
kikitumia pikipiki za matairi manne kimekuwa kikiendesha mashambulizi
ya kushtukiza kwa wapiganaji wa kundi la IS nchini Irak.
Takwimu zinaonyesha kuwa
mashambulizi hayo yamekuwa na mafanikio ambapo kwa siku wapiganaji
kati ya nane huuwawa na ndani ya wiki nne wapiganaji 200 wa IS
wameuwawa.
Kikosi hicho cha SAS kimekuwa
kikitumia helkopta kuwadondosha wanajeshi wake ardhini baada ya
kubaini uwapo wa wapiganaji wa IS na kuwashambulia kwa mtindo wa
kushtukiza.
Helkopta ya Uingereza ikiwa angani nchini Irak
Mwanajeshi wa Uingereza akikatiza jangwani na pikipiki kuwasaka IS
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni