Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland
baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji
wiki iliyopita. Rais Kikwete anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo
Jumatatu kwa ukaguzi wa maendeleo ya kidonda na ushauri. Kulia kwake
ni Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa amepumzika kwenye hoteli maalumu baada ya kutoka katika
hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland alikotolewa
nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume wiki
iliyopita. Rais Kikwete anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo
Jumatatu kwa ukaguzi wa maendeleo ya kidonda na ushauri. (Picha na
Freddy Maro).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni