Mgeni rasma ambaye ni Dr kutoka
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana DR. Natalius Kapilima akikata utepe
kuashilia kugawa zawadi mbalimbali kwa wagojwa wa saratani waliolazwa
katika hospital ya Ocean Road wengine kushoto ni Mkurugenzi wa TTCF.
Lutgard Kagaruki na wa tatu kulia ni Mratibu wa kampeni ya manusura
wa saratani ya Tezi Dume na Mwanzilishi wa Tanzania 50 Plus Campaign
Dr Emanuel Kandusi.
Dk. kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
Amana Dr. Natalius Kapilima kulia akimkabizi zawadi mgojwa wa
saratani Idd Muhode ambaye amelazwa katika hospitali ya Ocean Road.
Baadhi ya wadau mbalimbali wa
kujitolea kutoka Tanzania 50 plus campaign wakiwa katika picha ya
pamoja baada ya kutoa misaada mbalimbali kwa wagojwa wa saratani
katika hospital ya Ocean Road.
Dr kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
Amana Dr. Natalius Kapilima akipokea zawadi za wagojwa zilizoenda
kugawiwa katika hospitali ta Ocean Road kutoka kwa Mratibu wa kampeni
ya manusura wa saratani ya Tezi Dume na Mwanzilishi wa Tanzania 50
Plus Campagn Dr Emanuel Kandusi mwingine ni Mkurugenzi wa TTCF.
Lutgard Kagaruki walipokwenda kutoa misaada mbalimbali kwa wagojwa.
Vifurushi vya zawadi vikiwa tayari kwa kugawiwa
kwa wagojwa wa saratani katika hospitali ya Ocean Road.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni