.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 5 Desemba 2014

AL-SHABAAB WACHOMA MOTO NDEGE YA JESHI LA KENYA ILIYOANGUKA NCHINI SOMALIA

Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limesema wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab wamechoma moto ndege ya kivita ya Kenya iliyoanguka nchini Somalia.

Taarifa iliyotolewa leo na Msemaji wa KDF, Kanali David Obonyo imesema hatma ya rubani wa ndege hiyo haijulikani.

Taarifa hiyo imesema ni jambo la kujutia kwa ndege hiyo kuanguka katika eneo la maadui, na al-Shabaab kuwahi katika tukio na kuichoma moto.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni