.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 5 Desemba 2014

NEWS ALERT: ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO MLIMA NYOKA LEO BAADA YA BASI LA MBUKIO MISSIO KUGONGANA NA LORI LA MAFUTA


Basi la Mbukio Missio muda mfupi baada ya kupata ajali ambayo ilisababishwa na Dereva wa Basi hilo, Hapa vijana wakiwa wamechukua magazeti wakificha jina la Basi hilo lisitambulike kwa wale wanaokuja kushuhudia ajali hiyo, Nia na lengo la kufanya hivyo haijafahamika mpaka sasa.
Basi la Mbukio Missio likiwa limeharibika vibaya kwa mbele baada ya ajali hiyo
Baadhi ya abiria, mashuhuda pamoja na askari polisi wakiwa eneo la Mlima Nyoka ambapo ajali ilipotokea. (Picha na Mbeya yetu Blog).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni