.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 5 Desemba 2014

CRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA KUPACHIKA WAVUNI MAGOLI MENGI MWAKA 2013


Mwanasoka nyota duniani Cristiano Ronaldo amezidi kujitwalia tuzo kutokana na uwezo wake wa kufunga magoli.

Tuzo yake ya sasa ni kutoka Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu baada ya kufunga magoli 69 katika michuano yote kwa klabu yake ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno mwaka 2013.

Ronaldo amepata tuzo hiyo jana na kisha kutoa picha ya tukio hilo kwa wafuasi wake kupitia Instagram.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni