.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Desemba 2014

MAAFISA INDONESIA WATUMA TIMU KUCHUNGUZA MOSHI KATIKA ENEO ILIPOTOWEKA NDEGE

Maafisa nchini Indonesia wanatuma timu kuchunguza taarifa za kuonekana kwa moshi kwenye eneo la kisiwa ambalo ndege ya AirAsia namba QZ8501 ilitoweka.

Zoezi la ushirikiano la msako wa ndege hiyo limeingia siku ya tatu, huku eneo msako likitanuliwa na kufikia zoni 13 katika ardhi na baharini.

Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ikiwa na watu 162 ikitokea Surabaya, Indonesia kwenda Singapore, ilitoweka siku ya jumapili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni