Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta leo
ametia saini kuwa sheria madadiliko ya sheria ya usalama ya mwaka
2014.
Sheria hiyo ilipitishwa jana na
wabunge katika kikao maalum kwenye bunge la taifa baada ya malumbano
makali.
Katika hotuba yake Ikulu, Rais
Kenyatta amesema hakuna jambo jipya katika sheria hiyo, linalokiuka
Muswada Haki za Binadamu ama Katiba.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni