.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 1 Desemba 2014

UMOJA WA MATAIFA WASEMA BADO KUNAHATARI KUBWA YA KUSAMBAA EBOLA DUNIANI

Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa ujumbe wa kukabiliana na Ebola katika nchi za Afrika Magharibi amesema kuwa bado kunahatari kubwa ugonjwa huo hatari unaweza kusambaa katika maeneo mengine duniani.

Mkuu huyu Tony Banbury ameshindwa kusema iwapo malengo yake aliyopanga kukabiliana na Ebola, yamefanikiwa.

Malengo hayo ni pamoja na tiba kwa waliougua ugonjwa huo pamoja na maziko salama kwa miili ya watu waliokufa kwa Ebola.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni