Aliyekuwa kamanda mkatili wa waasi wa
Lord's Resistance Army, Dominic Ongwen amefikishwa kwa mara ya kwanza
katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu jana akituhumiwa kwa uhalifu
wa kivita pamoja na uhalifu dhidi ya binadamu.
Usikiliza wa awali wa kesi ya mpiganaji
huyo ambaye alitekwa akiwa mtoto na kutumbukizwa katika mapigano na
Kiongozi wa kundi hilo Bw. Joseph Kony, umekuja ikiwa ni siku chache
baada ya kujisalimisha kwa kikosi cha Marekani mapema mwezi huu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni