.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Januari 2015

BONDIA WA ZAMANI MUHAMMAD ALI ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

Bondia wa zamani maarufu Muhammad Ali, ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kulazwa hospitali, mwezi uliopita kutokana na maambukizi katika mfumo wa haja ndogo.

Ali ambaye alikuwa bingwa mara tatu wa uzito wa juu, amerejea nyumbani baada ya kuruhusiwa kurudi nyumbani jumanne usiku, kwa mujibu wa msemaji wa familia.

Msemaji huyo Bob Gunnell amesema Ali ,72, amepona kabisa na familia yake inamshukuru kila mtu kwa kumuunga mkono wakati wa ugonjwa wake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni