.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Januari 2015

POLISI UFARANSA WATOA PICHA ZA NDUGU WAWILI WALIOHUSIKA NA SHAMBULIO LILILOUWA WATU 12



Polisi nchini Ufaransa wamewataja ndugu wawili kuwa ni watuhumiwa wa tukio la shambulio lililofanywa katika ofisi ya jarida la Charlie Hebdo, wakati msako ukiendelea.

Polisi wametoa picha za ndugu hao Cherif na Said Kouachi, na kuwaelezea kuwa ni watu hatari wenye silaha na kutoa hati ya kukakamtwa kwao. Mtuhumiwa watatu amejisalimisha mwenyewe.

Nchi ya Ufaransa imetangaza siku moja ya maombolezo ya vifo vya wanahabari hao 12 waliouwawa katika shambulio hilo.

Shambulio hilo limelaaniwa na viongozi wa dunia, huku rais Barack Obama akisema yupo tayari kuisaidia Ufaransa kuwasaka wahusika wa tukio hilo.
                                               Polisi wakiweka ulinzi katika sehemu ya tukio
                                                         Maombolezo yakiendelea nchini Ufaransa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni